KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Kesi Dikoroma na dada mmoja
(jina halikupatikana mara moja) wamejikuta wakitapeliwa simu zao baada
ya kupewa tenda ya kuchimba kaburi.
Wawili hao wamekutwa na mkasa
huo hivi karibuni katika makaburi ya Ulongoni, Tabata-Segerea, jijini
Dar, ambapo imeelezwa kuwa, Kesi ambaye hufanya shughuli za kuchimba
makaburi, alipatwa na msala huo baada ya baba mmoja ambaye hakufahamika
jina lake kufika makaburini hapo na kuwapa tenda feki ya kuchimba
kaburi.
“Aliwaambia kuwa ana shida ya kuchimbiwa kaburi
litakalogharimu shilingi laki tano na kudai anataka baada ya kuchimbwa
lijengwe kabisa.
“Ndipo Kesi na huyo dada ambaye alipewa tenda ya
kuchota maji, waliingia mzigoni huku mwingine akaambiwa akalete
matofali na marumaru. …
No comments:
Post a Comment