Powered By Blogger

Tuesday, May 28, 2013

UZINZI WALITIKISA KANISA KATOLIKI, HIKI NDIO KINACHOENDELEA

http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/03/Askofu-Mkuu-wa-Jimbo-Katoliki-la-Dar-es-Salaam-Mwadhama-Polycarp-Kardinali-Pengo.jpgHALI ya hewa katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kristo Mfalme Tabata, jijini Dar es Salaam si shwari hata kidogo kufuatia baadhi ya waumini kumtuhumu Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji, Faustin Mchanuzi kwamba ana ‘nyumba ndogo’ anayoitembelea kila mara hivyo aachie ngazi kwa sababu kitendo hicho ni uzinzi, Uwazi linakupa hatua kwa hatua....

No comments:

Post a Comment