Powered By Blogger

Thursday, May 23, 2013

JINA LA SUGU LAMTATIZA SPIKA WA BUNGE, LAPIGWA STOP

KATIKA hali iliyoonesha sintofahamu, jina la utani la Mbunge wa Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chadema, Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’  lilionekana kumtatiza Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Anne Semamba Makinda.

Ilikuwa wakati Mbilinyi akizungumza kwa niaba ya kambi rasmi ya upinzani kuchangia bajeti ya Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo ya Mhe. Fenella Mukangara ndipo alipotibua mambo yaliyosababisha spika atatizwe na jina lake la Mbilinyi.

No comments:

Post a Comment