Powered By Blogger

Monday, May 27, 2013

HUKUMU YA RAMA ‘MLA WATU’ VILIO, VICHEKO!


HUKUMU ya kuwaachia huru washitakiwa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji, Ramadhan Seleman Mussa ‘Rama Mla Watu’ na mama yake, Khadija Ally Seleman imeibua vicheko na vilio katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Ijumaa iliyopita.

Huku Ijumaa Wikienda likifuatilia hukumu hiyo hatua kwa hatua, hali hiyo ya taharuki ilitokea mara baada ya jaji wa mahakama hiyo, Rose Temba kuwaachia huru washitakiwa hao na kuibua sekeseke hilo huku mayowe ya vicheko na vilio vikitawala kutoka pande mbili zilizokuwa zikifuatilia kesi hiyo.

Ikumbukwe kwamba kijana Rama na mama yake walikuwa wakishitakiwa kwa kosa la mauaji ya mtoto Salome Yohana yaliyotokea mwaka 2008.

Wakati upande wa familia ya Rama ukigubikwa na furaha baada ya kuachiwa huru,

No comments:

Post a Comment