Powered By Blogger

Tuesday, May 14, 2013

Wanafunzi wa Manzese Secondary wanaanguka chini na kuzimia

Wanafunzi wa shule ya secondary Manzese wamekumbwa na hali ya kuanguka na kuzimia,mpaka sasa inadainatajwa wameshazimia wengi,chanzo cha hali hiyo bado hakijajulikana na wanaendelea kupatiwa huduma ya kwanza shuleni hapo bt hali ni mbaya na wanafunzi wanazidi kimia,

No comments:

Post a Comment