Wanafunzi wa shule ya secondary Manzese wamekumbwa na hali ya kuanguka
na kuzimia,mpaka sasa inadainatajwa wameshazimia wengi,chanzo cha hali
hiyo bado hakijajulikana na wanaendelea kupatiwa huduma ya kwanza
shuleni hapo bt hali ni mbaya na wanafunzi wanazidi kimia,
No comments:
Post a Comment