Mcheza filamu mashuhuri sana duniani,Angelina Jolie
amesema kwamba amekatwa matiti yake yote pamoja na kuondoa mfuko wake wa
uzazi.
Kwenye taarifa aliyoandika kwenye gazeti la New York Times, Bi Jolie
amesema alifanyiwa uchunguzi wa celi zake na kugunduliwa kwamba alikuwa
katika hatari kubwa sana ya kupata saratani ya matiti. Ndipo akaamua
kukatwa matiti yake mawili.
No comments:
Post a Comment