 KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha 
gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe?,,,,,,Akifunguka katika mahojiano maalum wiki iliyopita na Kipindi cha Sporah 
Show cha runingani alipokuwa kwenye ziara ya kimuziki nchini humo, 
Diamond alizungumza ishu kibao za kimapenzi hasa juu ya msururu wa 
wanawake ambao tayari ametoka nao.
KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha 
gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe?,,,,,,Akifunguka katika mahojiano maalum wiki iliyopita na Kipindi cha Sporah 
Show cha runingani alipokuwa kwenye ziara ya kimuziki nchini humo, 
Diamond alizungumza ishu kibao za kimapenzi hasa juu ya msururu wa 
wanawake ambao tayari ametoka nao.

 
No comments:
Post a Comment