 WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli ndiye waziri namba moja hadi 
sasa kwa kulivunja mbavu Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma 
kutokana na vichekesho vyake wakati alipokuwa akijibu hoja za wabunge 
mbalimbali hivi karibuni.
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli ndiye waziri namba moja hadi 
sasa kwa kulivunja mbavu Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma 
kutokana na vichekesho vyake wakati alipokuwa akijibu hoja za wabunge 
mbalimbali hivi karibuni.Magufuli ambaye wengi humuita ‘Jembe’ kutokana na uchapa kazi wake, alikuwa akiwasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa Shilingi Trilioni 1.22 kwa mwaka wa fedha 2013/14.

 
No comments:
Post a Comment