 Akipiga stori na paparazi...., Aunt alisema takriban wiki moja 
aliyokutana na mumewe pande hizo ameitumia vilivyo kuinjoi na amekuwa 
mwepesi lakini akashindwa kufafanua kauli yake.
Akipiga stori na paparazi...., Aunt alisema takriban wiki moja 
aliyokutana na mumewe pande hizo ameitumia vilivyo kuinjoi na amekuwa 
mwepesi lakini akashindwa kufafanua kauli yake.“Hahahaha! Sifafanui chochote bwana lakini elewa nimekuwa mwepesi baada ya kukutana na mume wangu, tumekula bata vya kutosha,” alisema…

 
No comments:
Post a Comment