Akipiga stori na paparazi...., Aunt alisema takriban wiki moja
aliyokutana na mumewe pande hizo ameitumia vilivyo kuinjoi na amekuwa
mwepesi lakini akashindwa kufafanua kauli yake.
“Hahahaha!
Sifafanui chochote bwana lakini elewa nimekuwa mwepesi baada ya kukutana
na mume wangu, tumekula bata vya kutosha,” alisema…
No comments:
Post a Comment