WASANII wa Kundi la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ na Herry Mohamed 
‘Niko’ wamepata ajali na kuumia vibaya baada ya gari walilokuwa 
wakisafiria kupasuka tairi na kuacha njia.
Ajali hiyo ilitokea 
hivi karibuni maeneo ya Kiteto mkoani Manyara ambapo wasanii hao ambao 
ni wapenzi, walikuwa wakitumia gari aina ya Vogue wakielekea kwenye 
msiba. Walikuwa watu watano kwenye gari hilo ambao wote walijeruhiwa 
sehemu mbalimbali.


 
No comments:
Post a Comment