Powered By Blogger

Friday, May 10, 2013

Straika aliyetua Simba anyimwa jezi

KINDA mshambuliaji Ibrahim Twaha, maarufu kama Messi, amejikuta katika wakati mgumu baada ya uongozi wa Coastal Union kumnyima jezi wakati timu yake ilipoivaa Yanga.

No comments:

Post a Comment