YoungSam
BE UPDATED WITH YOUNGSAM contacts:0717-728226
Friday, May 10, 2013
Mchezaji Azam azuiwa kucheza soka maisha
HUJAFA Hujaumbika, kiungo wa Azam FC, Ibrahim Bakari ‘Jeba’, hataweza kucheza soka tena baada ya kuzuiwa na madaktari.
Madaktari mahiri wa nchini India wamechukua uamuzi huo baada ya kumfanyia vipimo na kugundua kuwa ana tatizo kwenye ini.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment