RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya
Kikwete, akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) jana katika ukumbi
wa White House mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM
(Zanzibar), Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein na wengine kutoka
kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na Katibu Mkuu
wa CCM, Abdulrahman Kinana. Pamoja na mambo mengine, Kamati Kuu imemteua
mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chambani, Pemba
No comments:
Post a Comment