KIUNGO mwenye kasi, Mrisho Khalfan Ngassa, amerejea Yanga na kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea tena timu hiyo.
Ngassa
alianza kupata umaarufu mkubwa akiwa na Yanga kabla ya kuondoka na
kujiunga na Azam FC kwa kitita cha jumla ya Sh milioni 98 na kuweka
rekodi mpya ya usajili.
No comments:
Post a Comment