Powered By Blogger

Saturday, May 11, 2013

HUKUMU YA SHEHE PONDA MAAJABU!


MAAJABU yamejitokeza kwenye hukumu iliyomkabili Katibu wa Jumuiya za Kiislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda na wenzake 49, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam juzi Alhamisi baada ya katibu huyo kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje na wengine kuachiwa huru.

No comments:

Post a Comment