MAAJABU yamejitokeza kwenye hukumu iliyomkabili Katibu wa Jumuiya
za Kiislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda na wenzake 49, Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam juzi Alhamisi baada ya katibu huyo
kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje na wengine kuachiwa huru.
No comments:
Post a Comment