Adam Mchomvu a.k.a baba jonii Radio presenter clouds fm mwenye crown ya 
best presenter, anatarajia kutoa mixtape yenye  ngoma kumi na nane 
alioshirikiana na wasanii mbali mbali kama Jose Mtambo, Banana Zorro, 
Illimatix, Cliff mitindo, G.nako, Nikk war 2, Babuu war kitaa, TID, na 
wasanii wengine wengi kama zawadi kwa mashabiki wake ibaki kama 
kumbukumbu kwa kile anachokifanya hewani
 
No comments:
Post a Comment