Adam Mchomvu a.k.a baba jonii Radio presenter clouds fm mwenye crown ya
best presenter, anatarajia kutoa mixtape yenye ngoma kumi na nane
alioshirikiana na wasanii mbali mbali kama Jose Mtambo, Banana Zorro,
Illimatix, Cliff mitindo, G.nako, Nikk war 2, Babuu war kitaa, TID, na
wasanii wengine wengi kama zawadi kwa mashabiki wake ibaki kama
kumbukumbu kwa kile anachokifanya hewani
No comments:
Post a Comment