WASHINDI WA DROO YA WESTERN UNION WAKWEA PIPA KUONA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA
Kutoka kushoto katika picha ya
pamoja ni Meneja Masoko wa Benki ya Posta (TPB) Bw. Andrew Chimazi,
Quraish Shindo (mshindi), Flora Mbuya (mshindi), Mratibu wa promosheni
hiyo kutoka 24D Brand Communications Bi. Farida Makame, Mkuu wa Huduma
za Usafirishaji Fedha wa Benki ya Diamond Trust (DTB) Bi. Chandni Jiwa
na Bw. Patropa Ndanshao (mshindi) wakiwa uwanjani JNIA.
No comments:
Post a Comment