Powered By Blogger

Tuesday, May 14, 2013

MREMBO: MBUNGE KANIBAKA

BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya karne.

No comments:

Post a Comment