 KUELEKEA
 shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na
 kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Band’, Judith 
Wambura ‘Lady Jay Dee’ au Jide’  huenda kwa upande wa wasanii wa Nyumba 
ya Vipaji ya THT, Linah Sanga na Barnaba  mwaka huu ukawa mchungu kwao 
kufuatia kuwepo taarifa za kutimuliwa na uongozi wa juu.
KUELEKEA
 shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na
 kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Band’, Judith 
Wambura ‘Lady Jay Dee’ au Jide’  huenda kwa upande wa wasanii wa Nyumba 
ya Vipaji ya THT, Linah Sanga na Barnaba  mwaka huu ukawa mchungu kwao 
kufuatia kuwepo taarifa za kutimuliwa na uongozi wa juu.
Kwa 
mujibu wa vyanzo kutoka kwa mtu wa karibu wa Linah kilieleza kuwa mpaka 
sasa msanii huyo hana raha na wala hajui ataanza vipi katika harakati 
zake za kimuziki hasa kufuatia hivi karibuni kukacha shoo ya nguli Lady 
Jay Dee kwa shinikizo kutoka kwa wakubwa zake.
Hata 
hivyo, Linah inadaiwa uongozi wa juu umekaa kikao na hatua iliyofuatia 
kwenye kikao hicho ni kuwaondoa kabisa kwani huenda wakatia doa wasanii 
wenzao ndani ya kundi hilo.

 
No comments:
Post a Comment