 Taarifa zilizotufikia ambazo bado zipo 
chini ya kapeti ni kwamba Kampuni ya Clouds Media Group, imeamua 
kumfungilia mashitaka msanii nguli wa Bongo Fleva na kiongozi wa bendi 
ya Machozi, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’. Clouds imeamua kufungua 
mashitaka hayo baada ya Lady Jaydee kuwachafua viongozi wawili wa juu wa
 kampuni hiyo ambao ni Mkurugenzi Mtendaji , Joseph Kusaga na  
Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo, Ruge Mutahaba katika mitandao ya 
kijamii hivi karibuni. Lady Jaydee anatakiwa kuripoti katika Mahakama ya
 Kinondoni kukabiliana na tuhuma hizo.
Taarifa zilizotufikia ambazo bado zipo 
chini ya kapeti ni kwamba Kampuni ya Clouds Media Group, imeamua 
kumfungilia mashitaka msanii nguli wa Bongo Fleva na kiongozi wa bendi 
ya Machozi, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’. Clouds imeamua kufungua 
mashitaka hayo baada ya Lady Jaydee kuwachafua viongozi wawili wa juu wa
 kampuni hiyo ambao ni Mkurugenzi Mtendaji , Joseph Kusaga na  
Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo, Ruge Mutahaba katika mitandao ya 
kijamii hivi karibuni. Lady Jaydee anatakiwa kuripoti katika Mahakama ya
 Kinondoni kukabiliana na tuhuma hizo.
Sunday, May 12, 2013
CLOUDS WAMPELEKA LADY JAYDEE MAHAKAMANI
 Taarifa zilizotufikia ambazo bado zipo 
chini ya kapeti ni kwamba Kampuni ya Clouds Media Group, imeamua 
kumfungilia mashitaka msanii nguli wa Bongo Fleva na kiongozi wa bendi 
ya Machozi, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’. Clouds imeamua kufungua 
mashitaka hayo baada ya Lady Jaydee kuwachafua viongozi wawili wa juu wa
 kampuni hiyo ambao ni Mkurugenzi Mtendaji , Joseph Kusaga na  
Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo, Ruge Mutahaba katika mitandao ya 
kijamii hivi karibuni. Lady Jaydee anatakiwa kuripoti katika Mahakama ya
 Kinondoni kukabiliana na tuhuma hizo.
Taarifa zilizotufikia ambazo bado zipo 
chini ya kapeti ni kwamba Kampuni ya Clouds Media Group, imeamua 
kumfungilia mashitaka msanii nguli wa Bongo Fleva na kiongozi wa bendi 
ya Machozi, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’. Clouds imeamua kufungua 
mashitaka hayo baada ya Lady Jaydee kuwachafua viongozi wawili wa juu wa
 kampuni hiyo ambao ni Mkurugenzi Mtendaji , Joseph Kusaga na  
Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo, Ruge Mutahaba katika mitandao ya 
kijamii hivi karibuni. Lady Jaydee anatakiwa kuripoti katika Mahakama ya
 Kinondoni kukabiliana na tuhuma hizo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

 
No comments:
Post a Comment