Sunday, May 12, 2013
CLOUDS WAMPELEKA LADY JAYDEE MAHAKAMANI
Taarifa zilizotufikia ambazo bado zipo
chini ya kapeti ni kwamba Kampuni ya Clouds Media Group, imeamua
kumfungilia mashitaka msanii nguli wa Bongo Fleva na kiongozi wa bendi
ya Machozi, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’. Clouds imeamua kufungua
mashitaka hayo baada ya Lady Jaydee kuwachafua viongozi wawili wa juu wa
kampuni hiyo ambao ni Mkurugenzi Mtendaji , Joseph Kusaga na
Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo, Ruge Mutahaba katika mitandao ya
kijamii hivi karibuni. Lady Jaydee anatakiwa kuripoti katika Mahakama ya
Kinondoni kukabiliana na tuhuma hizo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment