Powered By Blogger

Friday, May 17, 2013

BREAKING NEWS: TID NAE AJITOA KATIKA SHOW YA LADY JAYDEE, HIKI NDO ALICHOKISEMA. SOMA HAPA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8dfy4O1grTrZFdLtz_u51SHiQjab8iYtr1ZkN331J2OgfkXMtIdbKHvy-zuBw8z5dyCCg0D2M_8DcNlenzrYWU1EJ-z57WoRBKlCJNz_-1ZugbYkvkt3XJoWvhH1nQOKmyIrIskywV_mZ/s400/DSC05754.JPGMoja ya sababu anayosema TID ni kuwa ana mkataba mwingine wa show unaolipa zaidi.. Sababu ya pili ni kuwa hataki kuwa katikati ya ugomvi wowote.
Hivi ndivyo alivyoandika TID kwenye ukurasa wake wa Facebook.
“Three reason why i can’t do lady JIDE SHOW ………….No.1 I have better contract pays me better than.No.2 I really don’t want to be between anybody’s conflict ya kwangu yananishinda naona nieupushe shari…No.3 nataka kuoa muda wangu ndo huu ……………kama nimekukosea captein na madame kazeni but I have been thru same shit.”
Tayari Linah, Barnaba na Matonya wamejitoa kutumbuiza kwenye show hiyo.

No comments:

Post a Comment