Kwa mujibu wa mtandao wa Lady Jaydee, Matonya alikuwa miongoni mwa wasanii watakaopafomu katika shoo ya kuadhimisha miaka 13 ya Lady Jaydee inayotarajia kufanyika Mei 31, mwaka huu katika Ukumbi wa Nyumbani Lounge, jijini Dar lakini baadaye akagaili.
Wednesday, May 15, 2013
MATONYA AUVAA MSALA WA JIDE
Kwa mujibu wa mtandao wa Lady Jaydee, Matonya alikuwa miongoni mwa wasanii watakaopafomu katika shoo ya kuadhimisha miaka 13 ya Lady Jaydee inayotarajia kufanyika Mei 31, mwaka huu katika Ukumbi wa Nyumbani Lounge, jijini Dar lakini baadaye akagaili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment