Bieber amekuwa mada ya majadiliano mbalimbali katika tasnia ya burudani hasa baada ya tukio la kuzomewa na mashabiki wakati akipokea tuzo za Billiboard, kulalamikiwa na majirani zake kwa uendeshaji mbovu wa magari na matukio mengine mengi yanayofanana na hili.
Friday, May 31, 2013
USHER AFUNGUKA KUHUSU MISUKUSUKO INAYOMWANDAMA JUSTIN BIEBER BIEBER
Bieber amekuwa mada ya majadiliano mbalimbali katika tasnia ya burudani hasa baada ya tukio la kuzomewa na mashabiki wakati akipokea tuzo za Billiboard, kulalamikiwa na majirani zake kwa uendeshaji mbovu wa magari na matukio mengine mengi yanayofanana na hili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment