Kutokana na kujiamini sana Madrid walikuwa wameshaandaa bus maalum kwa ajili ya kusherehekea ubingwa wao katika jiji la Madrid, lakini mambo yakawa tofauti wakafungwa na Atletico na matokeo yake wakaliacha bus lao la kusherehekea ubingwa likiwa tupu kwenye moja ya gareji moja iliyopo jijini humo.
Kwa upande wa Atletico wao wakalitumia bus lao kwa kutembeza kombe lao mbele ya maelfu ya washabiki ndani ya jiji la Madrid.
No comments:
Post a Comment